James Kisaka

James Kisaka golikipa wa zamani wa Simba sports club ya Tanzania. Hivi inamaanisha Tanzania imeishiwa vipaji kama hivi vilivyokuwepo enzi za kina James Kisaka? Enzi hizo ukiachilia Kisaka Simba ilikuwa na kipa mwingine bora Athman Mambosasa.

Kwa sasa James anafundisha timu ya Jeshi huko ngerengere na kwa part time huwa anafundisha veterans wa NBC Ltd. Amewahi pia kufundisha timu ya Kagera sugar ya Kagera na Moro United ya mjini Morogoro

0 comments: